1 Nya. 8:24-29 Swahili Union Version (SUV)

24. na Hanania, na Elamu, na Anthothiya;

25. na Ifdeya, na Penueli; walikuwa wana wa Shashaki.

26. Na Shamsherai, na Sheharia, na Athalia;

27. na Yaareshia, na Eliya, na Zikri; walikuwa wana wa Yerohamu.

28. Hao ndio waliokuwa wakuu wa mbari za baba zao, katika vizazi vyao vyote, watu maarufu; na hao walikuwa wakikaa Yerusalemu.

29. Basi huko Gibea alikaa babaye Gibea, jina lake Yeieli, ambaye jina la mkewe aliitwa Maaka;

1 Nya. 8