1 Nya. 8:21-28 Swahili Union Version (SUV)

21. na Adaya, na Beraya, na Shimrathi; walikuwa wana wa Shema.

22. Na Ishpani, na Eberi, na Elieli;

23. na Abdoni, na Zikri, na Hanani;

24. na Hanania, na Elamu, na Anthothiya;

25. na Ifdeya, na Penueli; walikuwa wana wa Shashaki.

26. Na Shamsherai, na Sheharia, na Athalia;

27. na Yaareshia, na Eliya, na Zikri; walikuwa wana wa Yerohamu.

28. Hao ndio waliokuwa wakuu wa mbari za baba zao, katika vizazi vyao vyote, watu maarufu; na hao walikuwa wakikaa Yerusalemu.

1 Nya. 8