1 Nya. 7:22-25 Swahili Union Version (SUV)

22. Na Efraimu, baba yao, akaomboleza siku nyingi, wakaja nduguze ili kumfariji.

23. Naye akamwingilia mkewe, naye akachukua mimba na kuzaa mwana, akamwita jina lake Beria, kwa sababu mna mabaya nyumbani mwake.

24. Na binti yake alikuwa Sheera, ambaye alijenga Beth-horoni, wa chini na wa juu, na Uzen-sheera.

25. Mwanawe ni Refa, na Reshefu, na mwanawe huyo ni Tela, na mwanawe huyo ni Tahani;

1 Nya. 7