1 Nya. 6:5-14 Swahili Union Version (SUV)

5. na Abishua akamzaa Buki; na Buki akamzaa Uzi;

6. na Uzi akamzaa Zerahia; na Zerahia akamzaa Merayothi,

7. na Merayothi akamzaa Amaria; na Amaria akamzaa Ahitubu;

8. na Ahitubu akamzaa Sadoki; na Sadoki akamzaa Ahimaasi;

9. na Ahimaasi akamzaa Azaria; na Azaria akamzaa Yohana;

10. na Yohana akamzaa Azaria (ndiye huyo aliyefanya kazi ya ukuhani katika nyumba aliyoijenga Sulemani huko Yerusalemu)

11. na Azaria akamzaa Amaria; na Amaria akamzaa Ahitubu;

12. na Ahitubu akamzaa Sadoki; na Sadoki akamzaa Meshulamu;

13. na Meshulamu akamzaa Hilkia; na Hilkia akamzaa Azaria;

14. na Azaria akamzaa Seraya; na Seraya akamzaa Yehosadaki;

1 Nya. 6