1 Nya. 6:33-41 Swahili Union Version (SUV)

33. Na hawa ndio waliofanya huduma pamoja na wana wao. Katika wana wa Wakohathi; Hemani mwimbaji, mwana wa Yoeli, mwana wa Samweli;

34. mwana wa Elkana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elihu, mwana wa Tohu;

35. mwana wa Sufu, mwana wa Elkana, mwana wa Mahathi, mwana wa Amasai;

36. mwana wa Elkana, mwana wa Shauli, mwana wa Uzia, mwana wa Urieli;

37. mwana wa Tahathi, mwana wa Asiri, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora;

38. mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, mwana wa Israeli.

39. Na nduguye Asafu, aliyesimama upande wake wa kuume, huyo Asafu alikuwa mwana wa Berekia, mwana wa Shimea;

40. mwana wa Mikaeli, mwana wa Baaseya, mwana wa Malkiya;

41. mwana wa Yeatherai, mwana wa Zera, mwana wa Ido;

1 Nya. 6