1 Nya. 6:3-8 Swahili Union Version (SUV)

3. Na wana wa Amramu; Haruni, na Musa, na Miriamu. Na wana wa Haruni; Nadabu, na Abihu, na Eleazari, na Ithamari.

4. Eleazari akamzaa Finehasi; na Finehasi akamzaa Abishua;

5. na Abishua akamzaa Buki; na Buki akamzaa Uzi;

6. na Uzi akamzaa Zerahia; na Zerahia akamzaa Merayothi,

7. na Merayothi akamzaa Amaria; na Amaria akamzaa Ahitubu;

8. na Ahitubu akamzaa Sadoki; na Sadoki akamzaa Ahimaasi;

1 Nya. 6