12. na Ahitubu akamzaa Sadoki; na Sadoki akamzaa Meshulamu;
13. na Meshulamu akamzaa Hilkia; na Hilkia akamzaa Azaria;
14. na Azaria akamzaa Seraya; na Seraya akamzaa Yehosadaki;
15. na Yehosadaki akachukuliwa mateka, hapo BWANA alipowachukua mateka Yuda na Yerusalemu, kwa mkono wa Nebukadreza.