1 Nya. 6:12-15 Swahili Union Version (SUV)

12. na Ahitubu akamzaa Sadoki; na Sadoki akamzaa Meshulamu;

13. na Meshulamu akamzaa Hilkia; na Hilkia akamzaa Azaria;

14. na Azaria akamzaa Seraya; na Seraya akamzaa Yehosadaki;

15. na Yehosadaki akachukuliwa mateka, hapo BWANA alipowachukua mateka Yuda na Yerusalemu, kwa mkono wa Nebukadreza.

1 Nya. 6