3. wa tano, Shefatia, wa Abitali; wa sita, Ithreamu, kwa Egla, mkewe.
4. Sita alizaliwa huko Hebroni; na huko akamiliki miaka saba na miezi sita; na huko Yerusalemu akamiliki miaka thelathini na mitatu.
5. Na hawa alizaliwa huko Yerusalemu; Shamua, na Shobabu, na Nathani, na Sulemani, wanne, wana wa Bathsheba, binti Eliamu;
6. na Ibhari, na Elishua, na Elipeleti;
7. na Noga, na Nefegi, na Yafia;
8. na Elishama, na Eliada, na Elifeleti, watu kenda.