1 Nya. 3:3-8 Swahili Union Version (SUV)

3. wa tano, Shefatia, wa Abitali; wa sita, Ithreamu, kwa Egla, mkewe.

4. Sita alizaliwa huko Hebroni; na huko akamiliki miaka saba na miezi sita; na huko Yerusalemu akamiliki miaka thelathini na mitatu.

5. Na hawa alizaliwa huko Yerusalemu; Shamua, na Shobabu, na Nathani, na Sulemani, wanne, wana wa Bathsheba, binti Eliamu;

6. na Ibhari, na Elishua, na Elipeleti;

7. na Noga, na Nefegi, na Yafia;

8. na Elishama, na Eliada, na Elifeleti, watu kenda.

1 Nya. 3