8. Wakatupiwa kura ya ulinzi wao, sawasawa wote, mdogo kwa mkubwa, mwalimu kwa mwanafunzi.
9. Kura ya kwanza ikamtokea Yusufu, kwa Asafu; ya pili Gedalia; yeye na nduguze na wanawe, kumi na wawili;
10. ya tatu Zakuri, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
11. ya nne Seri, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
12. ya tano Nethania, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
13. ya sita Bukia, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
14. ya saba Asharela, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
15. ya nane Yeshaya, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
16. ya kenda Matania wanawe na nduguze, kumi na wawili;
17. ya kumi Shimei, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
18. ya kumi na moja Uzieli, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
19. ya kumi na mbili Hashabia, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
20. ya kumi na tatu Shebueli, wanawe na nduguze, kumi na wawili;