24. ya kumi na saba Yoshbekasha, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
25. ya kumi na nane Hanani, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
26. ya kumi na kenda Malothi, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
27. ya ishirini Eliatha, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
28. ya ishirini na moja Hothiri, wanawe na nduguze, kumi na wawili;