1 Nya. 25:24-28 Swahili Union Version (SUV)

24. ya kumi na saba Yoshbekasha, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

25. ya kumi na nane Hanani, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

26. ya kumi na kenda Malothi, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

27. ya ishirini Eliatha, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

28. ya ishirini na moja Hothiri, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

1 Nya. 25