23. ya kumi na sita Hanania, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
24. ya kumi na saba Yoshbekasha, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
25. ya kumi na nane Hanani, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
26. ya kumi na kenda Malothi, wanawe na nduguze, kumi na wawili;