17. ya kumi Shimei, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
18. ya kumi na moja Uzieli, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
19. ya kumi na mbili Hashabia, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
20. ya kumi na tatu Shebueli, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
21. ya kumi na nne Matithia, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
22. ya kumi na tano Yeremothi, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
23. ya kumi na sita Hanania, wanawe na nduguze, kumi na wawili;