13. ya sita Bukia, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
14. ya saba Asharela, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
15. ya nane Yeshaya, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
16. ya kenda Matania wanawe na nduguze, kumi na wawili;
17. ya kumi Shimei, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
18. ya kumi na moja Uzieli, wanawe na nduguze, kumi na wawili;