1 Nya. 25:13-18 Swahili Union Version (SUV)

13. ya sita Bukia, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

14. ya saba Asharela, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

15. ya nane Yeshaya, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

16. ya kenda Matania wanawe na nduguze, kumi na wawili;

17. ya kumi Shimei, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

18. ya kumi na moja Uzieli, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

1 Nya. 25