1 Nya. 24:7-12 Swahili Union Version (SUV)

7. Kura ya kwanza ikamtokea Yehoiaribu, na ya pili Yedaya;

8. ya tatu Harimu, ya nne Seorimu;

9. ya tano Malkia, ya sita Miyamini;

10. ya saba Hakosi, ya nane Abia;

11. ya kenda Yeshua, ya kumi Shekania;

12. ya kumi na moja Eliashibu, ya kumi na mbili Yakimu;

1 Nya. 24