7. Kura ya kwanza ikamtokea Yehoiaribu, na ya pili Yedaya;
8. ya tatu Harimu, ya nne Seorimu;
9. ya tano Malkia, ya sita Miyamini;
10. ya saba Hakosi, ya nane Abia;
11. ya kenda Yeshua, ya kumi Shekania;
12. ya kumi na moja Eliashibu, ya kumi na mbili Yakimu;