21. Wa Rehabia; wa wana wa Rehabia, Ishia mkuu wao.
22. Wa Waishari, Shelomothi; wa wana wa Shelomothi, Yahathi.
23. Na wana wa Hebroni; Yeria mkuu wao, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, Yekameamu wa nne.
24. Wana wa Uzieli, Mika; wa wana wa Mika, Shamiri.
25. Nduguye Mika, Ishia; wa wana wa Ishia, Zekaria.
26. Wana wa Merari; Mali na Mushi; wana wa Yaazia; Beno.