1 Nya. 24:21-26 Swahili Union Version (SUV)

21. Wa Rehabia; wa wana wa Rehabia, Ishia mkuu wao.

22. Wa Waishari, Shelomothi; wa wana wa Shelomothi, Yahathi.

23. Na wana wa Hebroni; Yeria mkuu wao, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, Yekameamu wa nne.

24. Wana wa Uzieli, Mika; wa wana wa Mika, Shamiri.

25. Nduguye Mika, Ishia; wa wana wa Ishia, Zekaria.

26. Wana wa Merari; Mali na Mushi; wana wa Yaazia; Beno.

1 Nya. 24