5. na elfu nne walikuwa mabawabu; na elfu nne walimsifu BWANA kwa vinanda, nilivyovifanya, alisema Daudi, vya kumsifia.
6. Basi Daudi akawagawanya kuwa zamu zao sawasawa na wana wa Lawi; Gershoni, Kohathi, na Merari.
7. Wa Wagershoni; Ladani, na Shimei.
8. Wana wa Ladani; Yehieli mkuu wao, na Zethamu, na Yoeli, watu watatu.