1 Nya. 23:14-17 Swahili Union Version (SUV)

14. Lakini kwa habari za Musa, mtu wa Mungu, wanawe hutajwa miongoni mwa kabila ya Lawi.

15. Wana wa Musa; Gershomu na Eliezeri.

16. Wana wa Gershomu; Shebueli mkuu wao.

17. Na wana wa Eliezeri; Rehabia mkuu wao. Yeye Eliezeri hakuwa na wana wengine; lakini wana wa Rehabia walikuwa wengi sana.

1 Nya. 23