9. Tena wana wa Hesroni aliozaliwa; Yerameeli, na Ramu, na Kalebu.
10. Na Ramu akamzaa Aminadabu; na Aminadabu akamzaa Nashoni, mkuu wa wana wa Yuda;
11. na Nashoni akamzaa Salmoni; na Salmoni akamzaa Boazi;
12. na Boazi akamzaa Obedi; na Obedi akamzaa Yese;