1 Nya. 2:9-12 Swahili Union Version (SUV)

9. Tena wana wa Hesroni aliozaliwa; Yerameeli, na Ramu, na Kalebu.

10. Na Ramu akamzaa Aminadabu; na Aminadabu akamzaa Nashoni, mkuu wa wana wa Yuda;

11. na Nashoni akamzaa Salmoni; na Salmoni akamzaa Boazi;

12. na Boazi akamzaa Obedi; na Obedi akamzaa Yese;

1 Nya. 2