1 Nya. 2:8-15 Swahili Union Version (SUV)

8. Na wana wa Ethani; Azaria.

9. Tena wana wa Hesroni aliozaliwa; Yerameeli, na Ramu, na Kalebu.

10. Na Ramu akamzaa Aminadabu; na Aminadabu akamzaa Nashoni, mkuu wa wana wa Yuda;

11. na Nashoni akamzaa Salmoni; na Salmoni akamzaa Boazi;

12. na Boazi akamzaa Obedi; na Obedi akamzaa Yese;

13. na Yese akamzaa Eliabu, mzaliwa wake wa kwanza, na wa pili Abinadabu, na wa tatu Shama;

14. na wa nne Nethaneli, na wa tano Radai;

15. na wa sita Ozemu, na wa saba Daudi;

1 Nya. 2