8. Na wana wa Ethani; Azaria.
9. Tena wana wa Hesroni aliozaliwa; Yerameeli, na Ramu, na Kalebu.
10. Na Ramu akamzaa Aminadabu; na Aminadabu akamzaa Nashoni, mkuu wa wana wa Yuda;
11. na Nashoni akamzaa Salmoni; na Salmoni akamzaa Boazi;
12. na Boazi akamzaa Obedi; na Obedi akamzaa Yese;
13. na Yese akamzaa Eliabu, mzaliwa wake wa kwanza, na wa pili Abinadabu, na wa tatu Shama;
14. na wa nne Nethaneli, na wa tano Radai;
15. na wa sita Ozemu, na wa saba Daudi;