1 Nya. 2:5-12 Swahili Union Version (SUV)

5. Wana wa Peresi; Hesroni, na Hamuli.

6. Na wana wa Zera; Zabdi, na Ethani, na Hemani, na Kalkoli, na Darda; hao wote ni watano.

7. Na wana wa Karmi; Akani, yule mwenye kutaabisha Israeli, aliyekosa katika kitu kilichowekwa wakfu.

8. Na wana wa Ethani; Azaria.

9. Tena wana wa Hesroni aliozaliwa; Yerameeli, na Ramu, na Kalebu.

10. Na Ramu akamzaa Aminadabu; na Aminadabu akamzaa Nashoni, mkuu wa wana wa Yuda;

11. na Nashoni akamzaa Salmoni; na Salmoni akamzaa Boazi;

12. na Boazi akamzaa Obedi; na Obedi akamzaa Yese;

1 Nya. 2