36. Na Atai akamzaa Nathani; na Nathani akamzaa Zabadi;
37. na Zabadi akamzaa Eflali; na Eflali akamzaa Obedi;
38. na Obedi akamzaa Yehu; na Yehu akamzaa Azaria;
39. na Azaria akamzaa Helesi; na Helesi akamzaa Eleasa
40. na Eleasa akamzaa Sismai; na Sismai akamzaa Shalumu;
41. na Shalumu akamzaa Yekamia; na Yekamia akamzaa Elishama.
42. Na wana wa Kalebu, nduguye Yerameeli, walikuwa Mesha, mzaliwa wake wa kwanza, aliyekuwa babaye Zifu; na wana wa Maresha, babaye Hebroni.