1 Nya. 16:40 Swahili Union Version (SUV)

ili kumtolea BWANA sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa daima asubuhi na jioni, naam, sawasawa na yote yaliyoandikwa katika torati ya BWANA, aliyowaamuru Israeli;

1 Nya. 16

1 Nya. 16:33-43