4. Daudi akawakutanisha wana wa Haruni, na Walawi;
5. wa wana wa Kohathi; Urieli mkuu wao, na nduguze mia na ishirini;
6. wa wana wa Merari; Asaya mkuu wao, na nduguze mia mbili na ishirini;
7. wa wana wa Gershoni; Yoeli mkuu wao, na nduguze mia na thelathini;
8. wa wana wa Elsafani; Shemaya mkuu wao, na nduguze mia mbili;
9. wa wana wa Hebroni; Elieli mkuu wao, na nduguze themanini;
10. wa wana wa Uzieli; Aminadabu mkuu wao, na nduguze mia na kumi na wawili.
11. Tena, Daudi akawaita Sadoki na Abiathari makuhani, na hao Walawi, Urieli, Asaya, Yoeli, Shemaya, Elieli, na Aminadabu,