1 Nya. 15:4-11 Swahili Union Version (SUV)

4. Daudi akawakutanisha wana wa Haruni, na Walawi;

5. wa wana wa Kohathi; Urieli mkuu wao, na nduguze mia na ishirini;

6. wa wana wa Merari; Asaya mkuu wao, na nduguze mia mbili na ishirini;

7. wa wana wa Gershoni; Yoeli mkuu wao, na nduguze mia na thelathini;

8. wa wana wa Elsafani; Shemaya mkuu wao, na nduguze mia mbili;

9. wa wana wa Hebroni; Elieli mkuu wao, na nduguze themanini;

10. wa wana wa Uzieli; Aminadabu mkuu wao, na nduguze mia na kumi na wawili.

11. Tena, Daudi akawaita Sadoki na Abiathari makuhani, na hao Walawi, Urieli, Asaya, Yoeli, Shemaya, Elieli, na Aminadabu,

1 Nya. 15