1 Nya. 13:14 Swahili Union Version (SUV)

Sanduku la Mungu likakaa na jamaa ya Obed-edomu, nyumbani mwake, muda wa miezi mitatu; naye BWANA akaibariki nyumba ya Obed-edomu, na yote aliyokuwa nayo.

1 Nya. 13

1 Nya. 13:8-14