1 Nya. 1:25-30 Swahili Union Version (SUV)

25. na Eberi, na Pelegi, na Reu;

26. na Serugi, na Nahori, na Tera;

27. na Abramu, naye ndiye Ibrahimu.

28. Wana wa Ibrahimu; Isaka, na Ishmaeli.

29. Hivi ndivyo vizazi vyao; mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Nebayothi; kisha Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu;

30. na Mishma, na Duma, na Masa, na Hadadi, na Tema;

1 Nya. 1