25. na Eberi, na Pelegi, na Reu;
26. na Serugi, na Nahori, na Tera;
27. na Abramu, naye ndiye Ibrahimu.
28. Wana wa Ibrahimu; Isaka, na Ishmaeli.
29. Hivi ndivyo vizazi vyao; mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Nebayothi; kisha Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu;
30. na Mishma, na Duma, na Masa, na Hadadi, na Tema;