1 Nya. 1:19-22 Swahili Union Version (SUV)

19. Na Eberi akazaliwa wana wawili wa kiume; jina la wa kwanza aliitwa Pelegi, maana katika siku zake nchi iligawanyika; na jina la nduguye aliitwa Yoktani.

20. Na Yoktani akamzaa Almodadi, na Shelefu, na Hasarmawethi, na Yera;

21. na Hadoramu, na Uzali, na Dikla;

22. na Obali, na Abimaeli, na Sheba;

1 Nya. 1