19. Na Eberi akazaliwa wana wawili wa kiume; jina la wa kwanza aliitwa Pelegi, maana katika siku zake nchi iligawanyika; na jina la nduguye aliitwa Yoktani.
20. Na Yoktani akamzaa Almodadi, na Shelefu, na Hasarmawethi, na Yera;
21. na Hadoramu, na Uzali, na Dikla;
22. na Obali, na Abimaeli, na Sheba;