13. Na Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi;
14. na Myebusi, na Mwamori, na Mgirgashi;
15. na Mhivi, na Mwarki, na Msini;
16. na Mwarvadi, na Msemari, na Mhamathi.
17. Wana wa Shemu; Elamu, na Ashuru, na Arfaksadi, na Ludi, na Aramu, na Usi, na Huli, na Getheri, na Mashi.
18. Na Arfaksadi akamzaa Sala, na Sala akamzaa Eberi.