1 Nya. 1:13-18 Swahili Union Version (SUV)

13. Na Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi;

14. na Myebusi, na Mwamori, na Mgirgashi;

15. na Mhivi, na Mwarki, na Msini;

16. na Mwarvadi, na Msemari, na Mhamathi.

17. Wana wa Shemu; Elamu, na Ashuru, na Arfaksadi, na Ludi, na Aramu, na Usi, na Huli, na Getheri, na Mashi.

18. Na Arfaksadi akamzaa Sala, na Sala akamzaa Eberi.

1 Nya. 1