20. Na tena, Bwana anayafahamu mawazo ya wenye hekima ya kwamba ni ya ubatili.
21. Basi, mtu ye yote na asijisifie wanadamu. Kwa maana vyote ni vyenu;
22. kwamba ni Paulo, au Apolo, au Kefa; au dunia, au uzima, au mauti; au vile vilivyopo sasa, au vile vitakavyokuwapo; vyote ni vyenu;
23. nanyi ni wa Kristo, na Kristo ni wa Mungu.