1 Kor. 2:5-7 Swahili Union Version (SUV)

5. ili imani yenu isiwe katika hekima ya wanadamu, bali katika nguvu za Mungu.

6. Walakini iko hekima tusemayo kati ya wakamilifu; ila si hekima ya dunia hii, wala ya hao wanaoitawala dunia hii, wanaobatilika;

7. bali twanena hekima ya Mungu katika siri, ile hekima iliyofichwa, ambayo Mungu aliiazimu tangu milele, kwa utukufu wetu;

1 Kor. 2