1 Fal. 6:13-15 Swahili Union Version (SUV)

13. Nami nitakaa katikati ya wana wa Israeli, wala sitawaacha watu wangu Israeli.

14. Basi Sulemani akaijenga hiyo nyumba akaimaliza.

15. Akazijenga kuta za nyumba ndani kwa mbao za mwerezi; toka sakafu ya nyumba hata boriti za juu, akazifunika ndani kwa mti; akafunika sakafu ya nyumba kwa mbao za mberoshi.

1 Fal. 6