1 Fal. 16:31 Swahili Union Version (SUV)

Ikawa, kama ingalikuwa neno dogo tu kuyaendea makosa ya Yeroboamu mwana wa Nebati, akamwoa Yezebeli binti Ethbaali, mfalme wa Wasidoni, akaenda akamtumikia Baali, akamsujudia.

1 Fal. 16

1 Fal. 16:30-34