1 Fal. 12:15 Swahili Union Version (SUV)

Basi mfalme hakuwasikia wale watu; maana jambo hili lilitoka kwa BWANA, ili alitimize neno lake, BWANA alilomwambia Yeroboamu mwana wa Nebati kwa kinywa cha Ahiya Mshiloni.

1 Fal. 12

1 Fal. 12:14-20