Zekaria 8:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi nasema: Kwa watu hawa waliosalia, hali hii inaonekana kuwa kitu kisichowezekana; lakini mnadhani haiwezekani kwangu mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi?

Zekaria 8

Zekaria 8:1-13