Zekaria 7:3 Biblia Habari Njema (BHN)

na kuwauliza makuhani wa hekalu la Mwenyezi-Mungu wa majeshi na manabii swali hili: “Je, tuendelee kuomboleza na kufunga katika mwezi wa tano kama tulivyofanya kwa muda wa miaka mingi sasa?”

Zekaria 7

Zekaria 7:1-13