Zekaria 7:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Mnamo mwaka wa nne wa utawala wa mfalme Dario, siku ya nne ya mwezi wa tisa, yaani Kislevu, neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia mimi Zekaria.

Zekaria 7

Zekaria 7:1-6