Zekaria 6:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Malaika akanijibu, “Magari haya ni pepo kutoka pande nne za mbingu. Yalikuwa mbele ya Mwenyezi-Mungu wa dunia nzima, na sasa yanaondoka.

Zekaria 6

Zekaria 6:1-9