Zekaria 6:12 Biblia Habari Njema (BHN)

na kumwambia kuwa Mwenyezi-Mungu wa majeshi asema hivi: ‘Hapa pana mtu aitwaye Tawi. Yeye atastawi hapo alipo na kulijenga hekalu langu mimi Mwenyezi-Mungu.

Zekaria 6

Zekaria 6:8-15