Zekaria 4:1-10b Biblia Habari Njema (BHN)

1. Yule malaika aliyeongea nami, akanijia tena, akaniamsha kama kumwamsha mtu usingizini.

10b. Huyo malaika akaniambia, “Hizo taa saba ni macho saba ya Mwenyezi-Mungu yaonayo kila mahali duniani.”

10. Maendeleo ya ujenzi wa hekalu yanaonekana madogo, na watu wanayadharau; lakini watamwona Zerubabeli akiendelea kulijenga hekalu, nao watafurahi.”

Zekaria 4