Zekaria 2:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wa Yuda watakuwa tena mali ya pekee ya Mwenyezi-Mungu katika nchi takatifu, na mji wa Yerusalemu utakuwa tena mji wake aliouchagua.

Zekaria 2

Zekaria 2:4-13