Zekaria 14:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati huo, Mwenyezi-Mungu atakuwa ndiye mfalme pekee wa dunia yote; naye atakuwa ndiye Mwenyezi-Mungu pekee, mmoja tu, na jina lake litakuwa ndilo jina pekee.

Zekaria 14

Zekaria 14:2-13