Zekaria 14:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Mchana utaendelea bila giza kuingia. Wakati huo wajulikana kwa Mwenyezi-Mungu peke yake. Hakutakuwa mchana wala usiku, kwa maana hata saa za jioni mwanga utaendelea kuwapo.

Zekaria 14

Zekaria 14:1-16