Zekaria 14:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Iwapo taifa lolote duniani halitakwenda Yerusalemu kumwabudu Mwenyezi-Mungu wa majeshi aliye mfalme, basi, mvua haitanyesha katika nchi yao.

Zekaria 14

Zekaria 14:7-18