Zekaria 13:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Na mtu akimwuliza mmoja wao, ‘Vidonda hivi ulivyo navyo mgongoni vimetoka wapi?’ Yeye atajibu, ‘Vidonda hivi nilivipata katika nyumba ya rafiki zangu.’”

Zekaria 13

Zekaria 13:3-9