Zekaria 11:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Wanunuzi wao wanawachinja lakini hawaadhibiwi; na wauzaji wao wanasema, ‘Na ashukuriwe Mwenyezi-Mungu! Sasa tumetajirika’. Hata wachungaji wenyewe hawawaonei huruma.

Zekaria 11

Zekaria 11:2-11