Zekaria 11:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Ombolezeni, enyi misunobari,kwa kuwa mierezi imeteketea.Miti hiyo mitukufu imeharibiwa!Enyi mialoni ya Bashani, ombolezeni,kwa kuwa msitu mnene umekatwa!

Zekaria 11

Zekaria 11:1-9