Zekaria 11:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha nikawaambia, “Kama mnaona kuwa ni sawa, nilipeni ujira wangu; lakini kama mnaona sivyo, basi kaeni nao.” Basi, wakanipimia vipande thelathini vya fedha mshahara wangu.

Zekaria 11

Zekaria 11:3-17