Zekaria 11:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Nikaichukua ile fimbo yangu niliyoiita “Fadhili,” nikaivunja, kuonesha kwamba agano alilofanya Mwenyezi-Mungu na watu wake limevunjwa.

Zekaria 11

Zekaria 11:4-13