Zekaria 10:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wa Efraimu watakuwa kama mashujaa vitani;watajaa furaha kama waliokunywa divai.Watoto wao wataona hayo na kufurahi,watajaa furaha mioyoni kwa sababu yangu Mwenyezi-Mungu.

Zekaria 10

Zekaria 10:5-12