Zekaria 1:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, nikamwuliza, “Bwana, Farasi hawa wanamaanisha nini?” Malaika huyo aliyeongea nami akaniambia, “Nitakuonesha hao farasi wanamaanisha nini.

Zekaria 1

Zekaria 1:1-17