18. Lakini fukara hawatasahauliwa daima;tumaini la maskini halitapotea milele.
19. Inuka, ee Mwenyezi-Mungu!Usimwache binadamu ashinde.Uyakusanye mataifa mbele yako, uyahukumu.
20. Uyatie hofu, ee Mwenyezi-Mungu,watu wa mataifa watambue kuwa wao ni watu tu!